
Kikosi cha Taifa Stars kinashuka Uwanjani 'Mustapha
Tchaker Stadium' kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Algeria jioni
ya leo huko Blida, nchini humo.
Mchezo huo ambao ni wa kalenda ya FIFA, utakuwa unaipa nafasi Tanzania ya kulipiza kisasi baada ya kupoteza kwa mabao 7-0 wakati timu hizo zilipokutana mara ya mwisho 2015.
Tanzania ilifungwa idadi hiyo ya mabao wakati wa kuwania kufuzu kuelekea michuano ya Kombe la Dunia kuelekea Urusi mwaka huu.
Licha ya kufungwa, timu zote hazijafanikiwa kufuzu kushiriki michuano hiyo inayotarajia kuanza miezi kadhaa ijayo.
Mchezo huo ambao ni wa kalenda ya FIFA, utakuwa unaipa nafasi Tanzania ya kulipiza kisasi baada ya kupoteza kwa mabao 7-0 wakati timu hizo zilipokutana mara ya mwisho 2015.
Tanzania ilifungwa idadi hiyo ya mabao wakati wa kuwania kufuzu kuelekea michuano ya Kombe la Dunia kuelekea Urusi mwaka huu.
Licha ya kufungwa, timu zote hazijafanikiwa kufuzu kushiriki michuano hiyo inayotarajia kuanza miezi kadhaa ijayo.
Lakini wakati hayo yakijiri ni kwamba shirikisho la soka
tz limeanza mchakato wa kutafuta kocha mpya wa kukinoa kikosi cha starz
kutokana mkataba wa salum mayanga kufika ukingoni
Kikosi cha Taifa Stars kitakachoanza dhidi ya Algeria, mchezo wa kirafiki
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Gadiel Michael
4. Abdi Banda
5. Kelvin Yondani
6. Himid Mao
7. Saimon Msuva
8. Mudathir Yahya
9. Mbwana Samata
10. Said Ndemla
11. Shiza Kichuya
Kikosi cha akiba
12. Ramadhan Kabwili
13. Abdulrahman Mohamed
14. Hassan Kessy
15. Erasto Nyoni
16. Abdulazizi Makame
17. Mohamed Issa
18. Feisal Salum
19. Ibrahim Ajib
20. Shaaban Iddi
21. Yahya Zayd
22. Rashid Mandawa
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Gadiel Michael
4. Abdi Banda
5. Kelvin Yondani
6. Himid Mao
7. Saimon Msuva
8. Mudathir Yahya
9. Mbwana Samata
10. Said Ndemla
11. Shiza Kichuya
Kikosi cha akiba
12. Ramadhan Kabwili
13. Abdulrahman Mohamed
14. Hassan Kessy
15. Erasto Nyoni
16. Abdulazizi Makame
17. Mohamed Issa
18. Feisal Salum
19. Ibrahim Ajib
20. Shaaban Iddi
21. Yahya Zayd
22. Rashid Mandawa
Comments
Post a Comment