Dodoma FM 98.4 Kato PlazaMajengo Simba/UmojaStreet P O Box 799 DodomaTel:+256 26 2323 111Cell: +255 784244705+255 714 504 202+255 763 886 491+255 717090651
Mama wajawazito wameshuriwa kutumia dawa aina ya FOLIC ACID katika kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito ili kuepuka kupata mtoto mwenye mapungufu. Rai hiyo imetolewa na Daktari kutoka Hospitali ya Matovyolwa mjini Dodoma Dk.MUBARACK ISSA ALI wakati akizungumza na Dodoma FM juu ya athari zitokanazo na mama kutotumia dawa hizo. Dr Mubarack amesema katika kipindi cha ujauzito mama huwa anapitia changamoto nyingi hivyo ni vyema akatumia dawa aina ya FOLIC ACID ili kuepuka kupata mtoto mwenye tatizo la mgongo wazi, kichwa kikubwa pamoja na upungufu wa damu. Aidha Dk. Mubarack amesema ili kuepuka kupata mtoto njiti kipofu na kusababisha kifo kwa mtoto ni vyema mama akaepuka matumizi ya pombe, dawa za kulev...
Comments
Post a Comment