Katibu Mkuu wa Yanga, Boniface Mkwasa amewaondoa hofu mashabiki wa Yanga akiwataka mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi uwanjani kesho.
Mkwasa alisema shabiki ni mchezaji wa 12, hivyo kujitokeza kwa wingi kutaongeza kutoa hamasa kwa wachezaji kupambana.
Aliongeza kuwa, kikosi chao kipo fiti kwa ajili ya mchezo huo, amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi.

KIINGILIO cha chini katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya Yanga na Township Rollers ya Botswana Jumanne kitakuwa ni Sh. 5,000.
Taarifa ya Yanga leo imesema kwamba viingilio vingine vitakuwa ni Sh. 20,000 kwa VIP A na Sh. 15,000 kwa VIP B na C.
Mchezo huo unatarajiwa kufanyika Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam kuanzia Saa 10:30 na timu hizo zitarudiana siku 10 baadaye nchini Botswana.
Yanga itakabiliana na Township Rollers ya Botswana katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika katika uwanja wa taifa, Dar es Salaam, saa 10 kamili jioni.
Mkwasa alisema shabiki ni mchezaji wa 12, hivyo kujitokeza kwa wingi kutaongeza kutoa hamasa kwa wachezaji kupambana.
Aliongeza kuwa, kikosi chao kipo fiti kwa ajili ya mchezo huo, amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi.
KIINGILIO cha chini katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya Yanga na Township Rollers ya Botswana Jumanne kitakuwa ni Sh. 5,000.
Taarifa ya Yanga leo imesema kwamba viingilio vingine vitakuwa ni Sh. 20,000 kwa VIP A na Sh. 15,000 kwa VIP B na C.
Mchezo huo unatarajiwa kufanyika Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam kuanzia Saa 10:30 na timu hizo zitarudiana siku 10 baadaye nchini Botswana.
Yanga itakabiliana na Township Rollers ya Botswana katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika katika uwanja wa taifa, Dar es Salaam, saa 10 kamili jioni.
Comments
Post a Comment