OMBI KWA WAZAZI NA WALEZI WENYE WATOTO SHULE ZA MSINGI MKONI DODOMA, WAOMBA KUCHANGIA CHAKULA ILI KWENYE HILI.
Wazazi ndani ya manispaa ya dodoma wametakiwa kuwa tayari kuchangia chakula kwa ajili ya watoto wao wa shule za msingi ambao wanatarajia kupewa kinga tiba ya magonjwa ambayo yalikuwa hayapewi kipaumbele kama kichocho na minyoo.

Akizungumza na kituohiki mratibu wa afya idara ya elimu msingi manispaa bi Teresia Modaha amesema kuwa dawa hizo haziwezi kutolewa pasipo wanafunzi kula chakula kwani zinaweza kuwafanya wakajisikia kizunguzungu na hata kuishiwa nguvu.
Kuhusu mtoto kwenda shule na chakula kilichopikwa nyumbani bi teresia amesema kitendo hicho hakikubaliki na kusisitiza kuwa ni lazima chakula kipikwe shule ndipo wanafunzi wale kwa pamoja kwa ajili ya usala wa hiko chakula.
Zoezi la kutoa kinga tiba kwa magonjwa ambayo yalikua hayapewi kipaumbele kwa wanafunzi wa yule ya msingi ndani ya manispaa ya dodoma litafanyika siku ya tarehe 29 na 30 mwezi wa nane mwaka huu 2017.
SOURCE DODOMA FM
Akizungumza na kituohiki mratibu wa afya idara ya elimu msingi manispaa bi Teresia Modaha amesema kuwa dawa hizo haziwezi kutolewa pasipo wanafunzi kula chakula kwani zinaweza kuwafanya wakajisikia kizunguzungu na hata kuishiwa nguvu.
Kuhusu mtoto kwenda shule na chakula kilichopikwa nyumbani bi teresia amesema kitendo hicho hakikubaliki na kusisitiza kuwa ni lazima chakula kipikwe shule ndipo wanafunzi wale kwa pamoja kwa ajili ya usala wa hiko chakula.
Zoezi la kutoa kinga tiba kwa magonjwa ambayo yalikua hayapewi kipaumbele kwa wanafunzi wa yule ya msingi ndani ya manispaa ya dodoma litafanyika siku ya tarehe 29 na 30 mwezi wa nane mwaka huu 2017.
SOURCE DODOMA FM
Comments
Post a Comment