MWENYEKITI CHAMA CHA HABARI DODOMA AOMBA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI, AUNGA MKONO WA MAGAZETI.USAJILI MPYA
Kufuatia tamko la serikali juu ya kusajili upya magazeti yote nchini hatua hiyo imepongezwa na mwenyekiti wa chama cha habari mkoani Dodoma Bw Habeli Chidawali.
Hayo yamesemwa na mwenyekiti huyo wakati akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu ambapo amesema kuwa serikali imefanya jambo jema juu ya hatua hiyo kwa kutambua idadi ya vituo vya magazeti vilivyopo nchini na kazi zake kiujumla.
Aidha Bw. Chidawali amesema kuwa kwa upande mwingine serikali inakwenda kuelekeza sera zake ambazo zitawabana wamiliki wa vyombo vya habari na kupelekea magazeti ambayo hayatakuwa na sifa kufungiwa.
Mbali na hayo Bw. Chidawali ametoa wito kwa serikali kutoa uhuru kwa vyombo vya habari nchini katika utendaji kazi wake ikiwemo pamoja na kuikosoa,
Anipha Ramadhan Chanzo DODOMA FM
Hayo yamesemwa na mwenyekiti huyo wakati akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu ambapo amesema kuwa serikali imefanya jambo jema juu ya hatua hiyo kwa kutambua idadi ya vituo vya magazeti vilivyopo nchini na kazi zake kiujumla.
Aidha Bw. Chidawali amesema kuwa kwa upande mwingine serikali inakwenda kuelekeza sera zake ambazo zitawabana wamiliki wa vyombo vya habari na kupelekea magazeti ambayo hayatakuwa na sifa kufungiwa.
Mbali na hayo Bw. Chidawali ametoa wito kwa serikali kutoa uhuru kwa vyombo vya habari nchini katika utendaji kazi wake ikiwemo pamoja na kuikosoa,
Anipha Ramadhan Chanzo DODOMA FM
Great, big up
ReplyDelete