Skip to main content

DODOMA LIVE







DODOMA LIVE KWA FAIDA YAKO 19 APRIL 2018
Faida zitokanazo na Juisi ya Limao

Fuatilia Hapa








DODOMA LIVE NGUZO IMARA 19 APRIL 2018
Changamoto wanazokumbana nazo wafanyakazi wa nyumbani ikiwemo kupewa majukumu kupita kiasi na manyanyaso .

Fuatilia Hapa









DODOMA LIVE MTAANI 19 APRIL 2018
Uzinduzi wa Mnara wa Magufuli (MAGUFULI SQUARE)  katika Chuo cha Serikali za Mitaa kilichopo Kata ya Hombolo Mkoani Dodoma .

Fuatilia Hapa










DODOMA LIVE MAKALA YA WIKI 19 APRIL 2018
Faida za uhifadhi wa mazingira,Unashiriki Vipi Kuhifadhi Mazingira

Fuatilia Hapa









NGUZO IMARA 18 APRIL 2018
Wanawake katika Manispaa ya Dodoma washauriwa kujiunga katika vikundi mbalimbali vya kujikwamua kiuchumi ili waweze kupatiwa Asilimi 5 ya Mapato ya Halmashauri ziwaendeleze Kiuchumi.  

Fuatili hapa


 






DODOMA LIVE MTAANI  18 APRIL 2018
Wakazi wa Mtaa wa Kisabuje  Area A Manispaa ya Dodoma  Walalamikia Dampo bubu katika Eneo lao

Fuatilia hapa  

 





FAHAMU :Shughuli za TBS,Faida za Alama ya Ubora ya TBS na namna ya kushirikiana na TBS
Fuatilia hapa mahojiano

 





DODOMA LIVE 17 APRIL 2018 KWA FAIDA YAKO
Fahamu faida za Viazi Lishe katika Mwili wa Binadamu

Fuatilia Hapa

 







NGUZO IMARA 17 APRIL 2018
Vijana wa kike washauriwa kujipanga vyema wanapohitimu masomo yao waweze kujiajiri wenyewe.  

Fuatili hapa

 








DODOMA LIVE MTAANI  17 APRIL 2018
Kutana na Malkia wa Nyuki kutoka mjini Dodoma akielezea Matumizi ya Asali na Faida zake.

Fuatilia hapa  

 








DODOMA LIVE MTAANI  16 APRIL 2018
Lengo la serikali kuanzisha  corse ya usindikaji nyama na uchinjaji

Fuatilia hapa  















DODOMA LIVE NGUZO IMARA 4 APRIL 2018












DODOMA LIVE MTAANI 4 APRIL 2018




DODOMA LIVE MAKALA YA NYAKATI ZINABADILIKA 28 MARCH 2018







DODOMA LIVE KWA FAIDA YAKO








DODOMA LIVE NGUZO IMARA 28 MARCH 2018
Fahamu namna ambavyo wosia unatolewa,unavyoandikwa,Kuna aina ngapi za wosia,Lini unapaswa kutolewa na muhusika mkuu anayepaswa kupatiwa WOSIA










DODOMA LIVE MTAANI 28 MARCH 2018 

Mtandao wa Asasi za kiraia mkoani Dodoma NGONEDO uko katika mpango wa kutoa elimu kwa jamii juu ya kupashana habari kupitia masuala mablimbali yanayotekelezwa na serikali. 

   








DODOMA LIVE MTAANI 26 MARCH 2018

     






DODOMA LIVE MAKALA YA HABA NA HABA

Je unafahamu kuwa mtoto chini ya umri wa miaka 5 anaugua kisukari? Nini kinasababisha augue kisukari katika umri mdogo?na Je Jamii ina Elimu juu ya Hili? Tunaweza kumkinga Vipi asiugue? Fuatilia hapa Makala ya Haba na Haba ina MAJIBU yote









DODOMA LIVE NGUZO IMARA 20 MARCH 2018

UNAFAHAMU MADHARA/ATHARI ZA KUWEKA PESA KWENYE MATITI? Baadhi ya Wanawake hupenda kuhifadhi au kuweka pesa kwenye matiti wakiamini kwamba ni sehemu sahihi ya kuhifadhi pesa na kuamini kuwa ni rahisi zaidi kulinda kuliko ambavyo wangehifadhi sehemu nyingine. Kipindi cha dodoma Live kimefanya mahojiano kupitia kipengele chake cha NGUZO IMARA kujua kama wanawake wanafahamu kuwa ni hatari kuweka /kuhifadhi pesa kwenye Matiti. Fuatilia mazunguzo aliyofanya Mhindi Joseph.









DODOMA LIVE MTAANI  20 MARCH 2018

Elimu inayotolewa katika vyuo mbalimbali hapa nchini ,je inamundaa Mhitimu aweze kujiajiri au kuajiriwa? Baadhi ya wanafunzi wameeleza kuwa Elimu ya Tanzania bado ni changamoto katika kumuandaa Mhitimu kujiajiri,Wengi wamekiri kuwa inamuandaa mhitimu kuajiriwa na si kujiajiri. Fuatilia mahojiano aliyofanya Alfred Bulahya na Wewe toa Maoni yako unaonaje Elimu yetu hasa Elimu ya juu?










DODOMA LIVE  KWA FAIDA YAKO

Fahamu Faida zitokanazo na ndizi katika mwili wa Binadamu.









DODOMA LIVE MAKALA YA WIKI
Wananchi katika wilaya ya Bahi Mjini Dodoma wahamasishwa kutunza mazingira. Fuatilia Makala hii kwa undani zaidi.







DODOMA LIVE MTAANI 13 MARCH 2018
MADEREVA WA MABASI MKOANI DODOMA WAMTAKA RAIS KUINGILIA KATI SUALA LA WAO KUHAMISHIWA NZUGUNI.

Wakizungumza na Dodoma FM kupitia Segment ya Dodoma Live Mtaani Madereva hao wameonesha kutoridhishwa na kitendo cha kuhamishsiwa Nzuguni kwa madai kwamba hawatapata wateja kama ilivyokuwa hapo awali . Aidha madereva hao wameeleza kuwa eneo wanalotakiwa kuhamia ni katika viwanja vy nane nane karibu na jingo la Rais mahali ambapo wana hofu huenda kukawa ni changamoto kubwa kwao ya kuhamishwa mara kwa mara. Fuatilia Mkasa mzima hapa







MPANGO WA TASAF WA KUNUSURU KAYA MASIKINI WANUFAISHA WATU WENYE KIPATO BADALA YA MASIKINI.

Baadhi ya wananchi katika wilaya ya kongwa mkoani Dodoma wamelalamikia kitendo cha mfuko wa TASAF wenye lengo la kunusuru kaya masikini kusaidia watu ambao wana kipato jambo ambalo ni kinyume na utaratibu.

Wakizungumza na makala ya amua inayorushwa na Dodoma FM wananchi hao wamesema kuwa wamekuwa wakishuhudia watu wenye kipato wakitumia majina ya watu wasio na kipato katika kujipatia fedha kupitia mpango huo wa kunusuru kaya masikini.

Fuatilia Mkasa wote katika Makala hii







MTOTO AFICHWA NDANI NA WAZAZI WAKE  KWA TAKRIBANI MIAKA MITANO KWA SABABU YA ULEMAVU ALIO NAO.NI KATIKA WILAYA YA BAHI MKOANI DODOMA.


SIKILIZA UNDANI WA KISA HICHO KUPITIA MAKALA HII










KAMA UMEHITIMU DARASA LA SABA NA HUKUBAHATIKA KUENDELEA CHUO CHA DIMD KINAKUKARIBISHA.

Kwa wewe ambae hujui kusoma wala kuandika na ungependa kufahamu ungana na chuo dimd kutoka makao makuu dodoma tanzania.

Chuo cha dimd kinamjali hata yule ambae amehitimu darasa la saba anaweza kujiunga na course fupi ambazo zitamuwezesha kutimiza malengo yake.

Fuatilia mahojiano yetu kuwafahamu zaidi DIMD











SHULE YA MSINGI IBWAGA ILIYOPO KATIKA WILAYA YA KONGWA MKOANI DODOMA INAKABILIWA NA UPUNGUFU WA MATUNDU YA VYOO.

Ilitakiwa kuwa na matundu 50 kwa wanafunzi wa kike 25 na kwa wanafunzi wa kiume 25 lakini ina matundu 10 pekee ambayo 5 ni kwa wanafunzi wa kike na 5 ni kwa wanafunzi wa kiume .


Matundu 10 yaliyopo nayo yamejaa .

wanafunzi wa kike wanapata shida hasa wawapo katika hedhi hali inayowalazimu wengine kuwa na ruhusa za mara kwa mara kwenda nyumbani wakati wa masomo.


FUATILIA MAKALA HII ILIYOAMBATANISHWA KUJUA MENGI ZAIDI .

Comments

Popular posts from this blog

MITI YA KIVULI MAARUFU KAMA PANGA UZAZI YAZUA TAHARUKI WILAYANI BAHI DODOMA

                                                  Mganga Mkuu wa Wilaya ya Bahi Jijini Dodoma Dk.Philipina Philipo amewatoa hofu wakazi   wa Wilaya hiyo juu ya taarifa za kuwepo kwa madhara katika miti ya kivuli maarufu kama PANGA UZAZI ambayo imezua hofu kwa wananchi hao. Hoja hiyo imeibuliwa katika kikao cha Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo ambapo baadhi ya madiwani wameomba kupatiwa ufafanuzi kuhusu kuwepo kwa fununu kuwa mti huo una madhara na kuongeza kuwa baadhi ya wananchi wameanza kuikata wakihofia kupatwa na madhara hayo. Akitoa ufafanuzi kuhusu miti hiyo Mganga Mkuu wa Wilaya Dk.Philipina Philipo amesema hadi hivi sasa hakuna utafiti wowote uliofanyika na kubainisha kuwa mti huo hauna madhara hivyo wananchi hawana haja ya kuhofia chochote. Kutokana na Majibu hayo ya DK PHILIPINA yamepelekea kuibua kwa hoja nyingine kwa madiwani ambapo baadhi yao wametoa maoni tofauti tofauti juu ya ufafanuzi huo. Kufuatia hayo katibu  tawala msaidizi mkoa anayesh

YANGA KESHO KUJUA ANACHEZA NA NANI KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

MAJINA ya vigogo wa soka Afrika, wakiwemo mabingwa wa Afrika 1998, Raja Casablanca yametawala katika orodha ya wapinzani wapya wa Yanga kwenye michuano ya Afrika. Yanga SC imeangukia kwenye kapu la kuwania kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, ambako watamenyana na moja ya timu zilizofuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Hiyo ni baada ya kutolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya sare ya 0-0 na wenyeji, Township Rollers Jumamosi jioni Uwanja wa Taifa mjini Gaborone nchini Botswana. Matokeo hayo yanamaanisha Rollers inakwenda hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza historia hiyo kwa ushindi wa jumla wa 2-1 uliotokana na matokeo ya mchezo wa                              kwanza Dar es Salaam Machi 6. Na Yanga SC itamenyana na moja ya timu zilizofuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo, ambazo ni CR Belouizdad, USM Alger za Algeria, Al-Masry ya Misri, Djoliba ya Mali, Raja Casablanca, Enyimba ya Nigeria, SuperSport United ya Afrika K

MIKOA INAYOONGOZA KWA UKEKETAJI TANZANIA YATAJWA

Mila potofu   katika jamii ya kimasai imetajwa kuwa changamoto kwa maafisa ustawi wa jamii wa halimashauri ya wilaya ya Ngorongoro  kutokana na kukosa ushirikiano wa kutatua Tatizo la ukeketaji kwa jamii hiyo. Akizungumza na waandishi ya habari Afisa Ustawi Wa jamii Bwana ALOYCE  LOLIKISWALI katika semina iliyoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sanyansi na Utamaduni UNESCO kwa lengo la kupinga ukeketaji wa wanawake amesema kukosekana kwa ushirikiano kwa jamii imekuwa ni changamoto ambayo imepelekea kushindwa kudhibiti ukeketaji pamoja na ukatili wa kijinsia. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Malaigwanan Bwana JOSEPH TIRIPAI amebainisha kuwa mila na desturi zao zitabadilika kulingana na wakati lakini watahakikisha wanalinda watoto wanaozaliwa kutokeketwa na kusisitiza elimu kuendelea kutolewa hususani shuleni. Katika hatua nyingine mratibu wa afya ya mama na mtoto ameeleza kuwa wanawake wajawazito waliokeketwa wanalazimika   kujifugua kwa upasuaji na